![]() |
Happy New Year. Jamani ndio tunamalizia likizo tarehe 7 Jan Tunarudi full mzigoni |
![]() |
Super Model wetu Simon aka Meku naye katuma salamu za X-mass na New Year akiwa pande za moshi. Naona kashakuwa Meku anapenda kisusio |
![]() |
Kama kawa wakati wa sikuku ndafu lazima iweko |
![]() |
Wataalamu wa nyama choma. Hapa namuona Dr S.Makupa akiwa makini kabisa |
![]() |
Nilimnasa super model wetu Sasha akisimamia kucha maji. Kweli maji yakijijini yanavyotoka kwenye bomba ni yabaridi utazani yako kwenye friji |
![]() |
Wewe |
![]() |
Hatimaye Sasha naye akatuma salamu za Xmass na mwaka Mpya. |
![]() |
Happy New Year! |
![]() |
Mtaalamu wetu wa urembo naye akatuma salamu za Xmass na New Year. |
![]() |
Maswagga |
![]() |
Naye Bibi E Makupa naye akatuma salamu za Xmass na New year |
![]() |
Swagga la Bi E Makupa |
![]() |
Kama Kawa na Ngombe alitendewa haki |
No comments:
Post a Comment