GRM Production

Contact: Email: makupag@gmail.com
Karibu katika Ulimwengu
wa GRM Production

Tuesday, March 27, 2012

Exclusive-Maswagga ya UEFA Champions League Trophy Tour 2012 .

Mwali

Naibu waziri akitowa swagga. Niyeye , waziri mku na Mheshimiwa rais ndio waliruhusiwa kulishika kombe. Watu wengine hawaruhusiwi unakula kwa macho tu!

Mheshimiwa  akitowa swagga

Kijana wangu Noel Njau akitowa swagga

Dah simchezo kweli hi ni bahati yakipeke sana.  Namimi nikatowa swagga hakuna Andunje

Ma MC wa Shuhuli
































Ni me beep kidogo jamani kazi bado inaendelea

No comments:

Post a Comment