![]() |
| Mwali |
![]() |
| Naibu waziri akitowa swagga. Niyeye , waziri mku na Mheshimiwa rais ndio waliruhusiwa kulishika kombe. Watu wengine hawaruhusiwi unakula kwa macho tu! |
![]() |
| Mheshimiwa akitowa swagga |
![]() |
| Kijana wangu Noel Njau akitowa swagga |
![]() |
| Dah simchezo kweli hi ni bahati yakipeke sana. Namimi nikatowa swagga hakuna Andunje |
![]() |
| Ma MC wa Shuhuli |
![]() |
| Ni me beep kidogo jamani kazi bado inaendelea |































No comments:
Post a Comment