![]() |
| Bi Harusi Mtarajiwa Naomi. Hakika Ulipendeza sana |
![]() |
| Nice |
![]() |
| Naomi akiwa na Matron wake. Safi sana |
![]() |
| Hakika Wapambaji waliutendea haki ukumbi wa Diamond VIP. Thanks to Lotus |
![]() |
| Naomi akiingia ukumbini |
![]() |
| MC wa shuhuli alikuwa Dr Cheni |
![]() |
| Keki |
![]() |
| Mwenye kiti wakamati. Safi sana |
![]() |
| Upendo kwa wazazi |
![]() |
| Inapendeza sana pale Mheshimiwa anapolisakata rumba |
![]() |
| Huwa nafurahi nikienda kwenye shuhuli na kumkuta mama yetu T-Pinda au Mke wa mtoto wa Mkulima. Anajuwa kusakata rumba. Chezea uone. Nakumbuka hapa ilikuwa Hakunaga..... |
![]() |
| Safi sana Mheshimiwa |
![]() |
| Mume Mtarajiwa wa Naomi akiwa na Best man Mtarajiwa |
![]() |
| Jamani chakula bado kiko jikoni. Nawatakia weekend Njema |
































No comments:
Post a Comment