![]() |
| Mgeni rasmi akitowa hotuba fupi. Aliye vaa kaunda nyeusi na Kushoto kwake ni manager wa Safari lager . Nilipenda hotuba ya mgeni rasmi. alivyo anza 'Ndugu wananchi safari lager ni tamu' |
![]() |
| Wataalamu wa nyama choma Dar es salaam |
![]() |
| Wadau wa nyama choma hapa namuona Godi aka Makoo akiwa na Albert aka Kada |
![]() |
| Mdau kamche akichagua nyama |
![]() |
| Namimi wazee wa Meeda walinipa mguu wa mbuzi kama zawadi. Safi sana nilikulaje. Huwa napendaga kupata lunch kwa hawa wataalamu Sinza Mori |
![]() |
| Majaji wa Shindano la Safari Nyama choma 2012 |
![]() |
| Mama Matunda |
![]() |
| Dah Chezea Kisuma Bar |
![]() |
| Dah nimekubali hawa jamaa wa Kisuma. Itabidi sikumoja nifunge safari mpaka Temeke nikapate nyama |
![]() |
| Kisuma Bar ndio wamekuwa mabingwa wa Safari Lager Nyama choma 2012 |
![]() |
| Wadau wakitowa shoo |
![]() |
| Godi akitowa swagga. Janami hichi kinywaji huwa nakipenda sana. |
![]() |
| Furaha baada ya kutangazwa mabingwa wa nyama choma |
![]() |
| Kisuma Bar |
![]() |
| Dah nimekubali |
![]() |
| Pia wadau hawa walialikwa kuja kuangalia mambo yanavyokuwaga |
![]() |
| Mshindi watano |
![]() |
| Meeda walikuwa washindi wanne. Jamani najuwa mshindi wanne na wakwanza kwasababu ilikuwa kazi na dawa . Sasa naona kamemori kamepotea kidogo. Kweli safari sio mchezo |
![]() |
| Mshindi watatu |
![]() |
| Mabingwa wa nyamachoma 2012 Kisuma Bar |
![]() |
| Bar zilizoingia tano Bora |
![]() |
| Dah V8 or Kilimokwanza |
![]() |
| Nimekuali |
![]() |
| Safi sana mdau akiwa makini maana ilikuwa 'Bampa to Bampa' kwasababu Mafisi walikuwa wengi. |
![]() |
| Mkurugenzi wa Kisuma bar akitowa shukwani kwa wadau . Jamani Mwisho wakunuku! |





























































No comments:
Post a Comment