![]() |
| George na My wife wake Abigail |
![]() |
| Karibu Tanzania Mpora wetu Abigail. |
![]() |
| George na my wife wake wakitowa swagga. |
![]() |
| George na Best Man wake |
![]() |
| Mpora umependeza sana. Nice |
![]() |
| Maharusi wakiwa na wasimamizi wao |
![]() |
| Safi sana |
![]() |
| Wazazi wakitowa swagga. |
![]() |
| Bi harusi akielekea sehemu itakayo fanyika ibada. |
![]() |
| Baba akimsindikiza binti yake kwenye sehemu maalumu iliyo andaliwa kwa ajili ya kufunga ndoa |
![]() |
| Kwa taarifa tuu George na Abigail walifunga pingu zao Baharini. |
![]() |
| Namuona George akiwa makini kabisa |
![]() |
| Watu walio shuhudia maharusi hawa wakipigana pingu |
![]() |
| Mnakubali kufunga pingu ndio ndio. |
![]() |
| George akimtandika pingu Abigail |
![]() |
| Abigail nae akamtandika George pingu |
![]() |
| Pingu aliyo tandikwa George |
![]() |
| George akisign Mkataba wa kuishi pamoja |
![]() |
| Na Abigail naye akisign mkataba. |
![]() |
| Best man akimueleza George 'Kazi imekwesha karibu katika chama. |
![]() |
| Maharusi wakipiga picha na Padri aliyefungisha ndoa |
![]() |
| Picha ya Maharusi na Matron |
![]() |
| Mr and Mrs George Kaseza wakikata keki. |
![]() |
| Maharusi wakipata msosi. Naona Mpora akifurahia chakula cha kitanzania. |

































No comments:
Post a Comment