![]() |
George na My wife wake Abigail |
![]() |
Karibu Tanzania Mpora wetu Abigail. |
![]() |
George na my wife wake wakitowa swagga. |
![]() |
George na Best Man wake |
![]() |
Mpora umependeza sana. Nice |
![]() |
Maharusi wakiwa na wasimamizi wao |
![]() |
Safi sana |
![]() |
Wazazi wakitowa swagga. |
![]() |
Bi harusi akielekea sehemu itakayo fanyika ibada. |
![]() |
Baba akimsindikiza binti yake kwenye sehemu maalumu iliyo andaliwa kwa ajili ya kufunga ndoa |
![]() |
Kwa taarifa tuu George na Abigail walifunga pingu zao Baharini. |
![]() |
Namuona George akiwa makini kabisa |
![]() |
Watu walio shuhudia maharusi hawa wakipigana pingu |
![]() |
Mnakubali kufunga pingu ndio ndio. |
![]() |
George akimtandika pingu Abigail |
![]() |
Abigail nae akamtandika George pingu |
![]() |
Pingu aliyo tandikwa George |
![]() |
George akisign Mkataba wa kuishi pamoja |
![]() |
Na Abigail naye akisign mkataba. |
![]() |
Best man akimueleza George 'Kazi imekwesha karibu katika chama. |
![]() |
Maharusi wakipiga picha na Padri aliyefungisha ndoa |
![]() |
Picha ya Maharusi na Matron |
![]() |
Mr and Mrs George Kaseza wakikata keki. |
![]() |
Maharusi wakipata msosi. Naona Mpora akifurahia chakula cha kitanzania. |
No comments:
Post a Comment