![]() |
| Vijana waliwasili monduli salama na kuanza kazi ya kumsaka kisura |
![]() |
| Kazi haikuwa rahisi ilibidi kukaguwa boma moja baada ya moja |
![]() |
| Hapa namuona mmoja ya majaji wa kisura akimwita jaji mwenzake aje ndani maana kuna kisura kamuona |
![]() |
| Basi kisura akatolewa na kufanyiwa usaili. |
![]() |
| Vijana wakaingia kwenye boma la pili |
![]() |
| wakamkuta kisura |
![]() |
| Kisuwa akatowa swagga fupi. |
![]() |
| Safi |
![]() |
| Kuingia kwenye boma la mzee Laiboni tukapata kisura |
![]() |
| Baba mwenye boma akisikiliza kwa umakini |
![]() |
| Baba mwenye boma akifanyiwa mahojiano |
![]() |
| Kijana wangu hamidu akiwa anachukuwa video huku morani wakiwa makini. |
![]() |
| Kwataarifa tuu huyu mzee anawake 35 na watoto 102 wajukuu 15. na ilikujuwa anawatoto wangapi alitupangia mawe chini na tukahesabu. |
![]() |
| Baadhi ya vifaa vya kufanyia ramli |
![]() |
| Wakati tunarudi Dar es salaam tulikutana na hii ajali |
![]() |
| Poleni sana walio pata hii ajali. Tulipofika tulikuta wameshapelekwa hospitali. |



















No comments:
Post a Comment