![]() |
Vijana waliwasili monduli salama na kuanza kazi ya kumsaka kisura |
![]() |
Kazi haikuwa rahisi ilibidi kukaguwa boma moja baada ya moja |
![]() |
Hapa namuona mmoja ya majaji wa kisura akimwita jaji mwenzake aje ndani maana kuna kisura kamuona |
![]() |
Basi kisura akatolewa na kufanyiwa usaili. |
![]() |
Vijana wakaingia kwenye boma la pili |
![]() |
wakamkuta kisura |
![]() |
Kisuwa akatowa swagga fupi. |
![]() |
Safi |
![]() |
Kuingia kwenye boma la mzee Laiboni tukapata kisura |
![]() |
Baba mwenye boma akisikiliza kwa umakini |
![]() |
Baba mwenye boma akifanyiwa mahojiano |
![]() |
Kijana wangu hamidu akiwa anachukuwa video huku morani wakiwa makini. |
![]() |
Kwataarifa tuu huyu mzee anawake 35 na watoto 102 wajukuu 15. na ilikujuwa anawatoto wangapi alitupangia mawe chini na tukahesabu. |
![]() |
Baadhi ya vifaa vya kufanyia ramli |
![]() |
Wakati tunarudi Dar es salaam tulikutana na hii ajali |
![]() |
Poleni sana walio pata hii ajali. Tulipofika tulikuta wameshapelekwa hospitali. |
No comments:
Post a Comment