![]() |
| Mustafa Aka Fashion Guru |
![]() |
| Nakumbuka hapa alikuwa anawashukuru wadau mbali mbali walio kuja kushuhudia maonyesho. |
![]() |
| Aksante sana dada umelitendea haki ili gauni |
![]() |
| Sina chakusema |
![]() |
| Umetenda haki dada |
![]() |
| Hapa kama namkumbuka shamim 8020 huwa anasema Back in Africa. |
![]() |
| Safi kaka |
![]() |
| Inabidi siku utakapo funga pingu uvae suti hii. Umeitendea haki |
![]() |
| mambo ya pingu |
![]() |
| Hili swagga nimelikubali |
![]() |
| Safi sana |
![]() |
| Haki imetendeka kwenye hili gauni |
![]() |
| Hili gauni simchezo |
![]() |
| Gauni lilivyokuwa Kwa nyuma |
![]() |
| Kiubavu. Kweli hili gauni umelitenea haki. moja kwa moja unaingia kwenye top 20 |
![]() |
| Aj |
![]() |
| Safi sana hata bila kuelezea moja kwa moja top 20 |
![]() |
| Gauni linavyo onekana kwa nyuma |
![]() |
| Safi sana |
![]() |
| Yani moja kwa moja top 20 |
![]() |
| Gauni linavyo onekana kwa nyuma |
![]() |
| Dah Mustafa kama sijakosea hii ni collection yako |
![]() |
| Mambo ya harusi hayo |
![]() |
| Top 20 bila ubishi |
![]() |
| safi |
![]() |
| Dada ukiwa kazini hata hucheki. Safi sana |
![]() |
| Aj aka Blackfox |
![]() |
| Safi sana see u in Harusi Trade Fair 2011. kama kawa grm tunakuwaga pale mlangoni mwanzo kabisa. |




































No comments:
Post a Comment