GRM Production

Contact: Email: makupag@gmail.com
Karibu katika Ulimwengu
wa GRM Production

Friday, June 3, 2011

Siku Peter .C. Shirima alipofunga pingu zamaisha na Swahiba. H. Mndeme. Nawaonjesha kidogo jinsi mambo yalivyo jiri. Chakula bado kiko jikoni

Peter na my wife wake Swahiba. Safi sana hakika walipendeza sana

Safi



Nice




Namuona Peter akishow Love

Maharusi wakiwa na wasimamizi wao

Safi sana

Bi harusi akiwa na wasaidizi wake

Mke wa Peter C Shirima. Safi sana Swahiba hakika ulipendeza sana











Mume wa Swahiba  bwana Peter C. Shirima




Wasimamizi wakiingia ukumbini

Maharusi wakiingia ukumbini


Mume lazima umpende mkeo namna hii



Bongo FlV naipenda .....Oye  Safi sana. Jamani mimi katika kitu ambacho sikijui nikuchezaga kwaito!

Maharusi wakikata keki




Hakika mpambaji aliutendea haki ukumbi

Dah msosi usiseme kama kawa alikuwa Dorkasi

Kwakweli Peter anashow love. naona anampakulia chakula Swahiba




Safi sana

6 comments:

  1. Sfi sana kijana

    ReplyDelete
  2. kwa kweli shost ulipendeza,kaka yangu peter ndo tusiseme,si unacheki wachaga walivyo wa ukweli?I REAL LIKE THE WHOLE THING GUYS,the colour,decorations and everything,swaiba shost karibu kwenye haya maisha,ni matamu sana asikudanganye mtu..,lidya

    ReplyDelete
  3. MMEPENDEZA KUPITA MAELEZO, EVERYTHING IS JUST PERFECT. GOD BLESS UR MARRIAGE.
    Friend

    ReplyDelete
  4. waooooooo, my friend mmependeza sana. lovely couple. hongereni sana

    ReplyDelete
  5. waoooooooooo i missed this, mlinoga sana wapendwa. luv u all

    ReplyDelete