GRM Production

Contact: Email: makupag@gmail.com
Karibu katika Ulimwengu
wa GRM Production

Thursday, December 8, 2011

The Wedding of Eliud and Stella. Na Beep Kidogo tu jinsi mambo yalivyo jiri

Eliud akiwa na My wife wake Stella. Safi sana hakika walipendeza sana






In Love




Best man na Matron


Nice




Stella-Mke wa Eliud

Bestman na Matron Safi sana





Mume wa Stella-Eliud



















Upendo kwa Wazazi



Safi sana Matilda akiwa na Mumeo. Huwa nafurahi sana kuona maharusi tulio fanya kazi zao wakiwa pamoja. 

The Family







Nice

Safi sana







Bi harusi akiwa na the boys






Nimekubali swagga la bibi

The Girls safi sana


Nice













Safi sana. Kana nilivyo sema ninapenda kuwaona maharusi wangu wakiwa pamoja

Safi sana. Baba naona mambo sio mabaya.




The first Dance

Hakika hi harusi lazima itinge kwenye kumi bora. Yani kweli kuna maswagga ya kufa mtu.  



Nimekubali hili -Just Married



This is one of my best pix. nimependa hilikanisa jinsi lilivyo-msasani. Kweli ukiingia ndani  basi imani inakurudi gafla

Hakika full upako


Hakika mpambaji aliutendea haki ukumbi wa Diamond -Kubwa

Nice. Hi ndio meza ambayo maharusi walikaa


Kama kawaida bwana harusi hakuwacha kuipa shavu timu anayo ipenda Chelsea. Hapa nazani Stella inabidi uwe unatowa Viza pale timu ya Chelsea ikicheza. Kama atachelewa hakika anafuatilia kandanda. Yani mashabiki wa timu nyingine walinunaje maana mpaka kwenye meza glass zilikuwa zina lebo ya Chelsea. Safi sana

Dah nimekubali hi keki.-Monica unatisha


Kama kawaida chakula kilikuwa chini ya dada yetu Dorkas-Mama wa bufeeee na nyama chomaaaaa

Dah nimekubali hii setup-Safi sana dada dorkas
















Maharusi walianzia Hasali Mwezini hapa- Dah nimekubali hi hotel-Kunduchi Beach 



Dah simchezo

Jamani mwisho wa kunuku. GRM inawatakia maisha mema yenye furaha na amani Eliud and Stella

10 comments:

  1. Duh si mchezo, kila kitu kizuri, mmependeza sana. Hongereni sana na Mungu aibariki ndoa yenu.

    ReplyDelete
  2. Wow..... Amaizing!!!!! Yaani it was off the hook!!!!

    ReplyDelete
  3. Mungu na Aibarki ndoa hii. kama ilivyoanza kwa masham sham na iendelee vivyo hivyo hata ukamilifu wa dahari.

    ReplyDelete
  4. Hahahah! Hongera Eliud na Stella! Mungu awajalie neema tele!

    ReplyDelete
  5. BEAUTIFUL ! May God give you so much blessings that you will always have a reason to smile. Po Po pooo...

    ReplyDelete
  6. @Everyone....ahsanteni sana!@Po Po pooooo got you!@Mnyippembe....pamoja sana na ahsante sana!

    ReplyDelete
  7. Wow...totally AWESOME,God Bless You both...Eliud and Stella, CONGRATS once again!

    ReplyDelete
  8. Aisee Hongera sana kijana wangu Eliud. Sikupata nafasi ya kuchangia wala kuhudhuria lakini naamini yote yaliyofanyika ni kheri, Shukurani kwa Mwenyezi Mungu kwa hayo yaliyokiri na nawaombea Maisha marefu yenye mafanikio mema, naamini nitapata nafasi next time ya kujumuika nanyi nikiwa na familia yangu,,Never walk alone..Sam mzee wa Liverpool

    ReplyDelete
  9. @Lilian.....a big thank you!Thanks for your support.....pics zikiwa tayari will let you know!@Sam.....ahsante.Pamoja sana mzeee wa Never walk alone.....wazee wa darajani tumeanza kurudi kwenye form......naona mmetubahatisha mara mbili tayari msimu huuu!

    ReplyDelete
  10. stella hongera sana my dia for the step u have taken

    ReplyDelete