![]() |
Happy Birthday |
![]() |
Maswahiba wa kanumba tulimfanyia suprise party. Hapa alikuwa anatowa shukrani |
![]() |
Huyu alikuwa kwenye kamati ya vinywaji |
![]() |
Kanumba akikata keki huku Aunty Ezekiel akitowa muongozo |
![]() |
Wadau mbalimbali walio fika kumpongeza |
![]() |
Safi sana dada silvia |
![]() |
Mjomba naye alikuweko |
![]() |
Kanumba akiingia Ukumbini huku swaiba Vincent aka Ray akimsindikiza |
![]() |
Silvia akimuuliza kanumba unamiaka mingapi? |
![]() |
Mtaalamu wetu wa mambo ya urembo naye alikuweko |
![]() |
Lilian naye alikuweko |
Kwa kweli hii blog mie naipa jina la STRESS FREE,yaani kila nikiingia humu picha ni nzuri na za kuvutia,hakuna hili wala lile, poa sana.Big up GRM.
ReplyDeleteril nice
ReplyDelete