![]() |
| Dah sijawahi ona Mkandarasi anayefanya kazi kwa usafi kama hawa Waturuki aka Yapi Merkezi |
![]() |
| Hizi picha nazani wajuku zangu watakuwa wanashangaa sana Babu uliwezaje piga picha hapo sahizo nimesha RIP @@@ |
Kwa Mapicha zaidi zama hapa kwenye read more
![]() |
| Yani ukiwa safarini utakuwa unaona mazingira haya. Haya majani yana wiki 3 tuu toka yapandwe. Sasa baada ya mwaka itakuwaje. nishaona tenda hapa yakukata na ku maintain garden pembeni ya SGR line |
![]() |
| Mkongo wa Taifa- Mambo ya Internet |
![]() |
| Hapa ni Dsm hii SGR itakuwa inapita juu kama KM 20 hivi kuanzia mjini kutoka nje ya jiji. Soo kutakuwa hakuna mambo ya foleni |
![]() |
| Simchezo. |
Kwa Mapicha zaidi zama hapa kwenye read more
![]() |
| Eng Vero -ERB, Eng Barozi ERB na Msimamizi wa Mradi toka TRL wakiwa na Mkandarasi wa SGR |
![]() |
| Ujenzi imara |
![]() | ||
|
![]() |
| ERB iliwapeleka ma Eng wakike kutembelea Mradi wa SGR iliwapate mafunzo kwa vitendo |
![]() |
| Mambo ya site |
![]() |
| Hii Inatengenezwa hapa hapa Tanzania |
![]() |
| vituo vya Treni |
![]() |
| Camp ya Mkandarasi Yapi Merkezi |
![]() |
| Mkandarasi akituelezea progress ya Mradi |
![]() |
| Picha ya Pamoja |
![]() |
| Kiwanda cha kutengenezea haya Mataruma-Sijui kama ndio jina lake auu@@ |
![]() |
| Mwisho wa kunuku. Ziara nyingine itakuwa Mwakani! |

































































No comments:
Post a Comment