Event: Kilimanjaro Marathon 2019
Location: Moshi Shanty Town- Lema Road
Photography: Gabriel Makupa
Distance: 3KM kabla ya kufika Mwisho wa Marathon
![]() |
| Simchezo nimewakubali hawa. Mtanzania alishinda mbio za KM 21. Safi sana. Yani walipita kama Upepo |
![]() |
| Nilikuwa na Test Mitambo lol. Wacha nibaki na Fani yangu Picha Lol . Yani nilijaribu kukimbia nikahisi figo imedondoka kwa Ndani ya Mwili 😀 But one day nitaingia uwanjani. |
![]() |
| Lol Mwaka Huu wacha mashabiki wa Arsenal tuanze kujitokeza taratibu. Tumeteseka sana 💪 |
![]() |
| Test Mitambo |
![]() |
| Yani hawa jamaa wamepita kama baada ya dakika 8 ndio unaanza kuona watu wengine. Sijui wanamapafu ya Chui 😂😂 |
![]() |
| Yani Wanaruka sio kukimbia 😅😅 |
![]() |
| Due speed 200. NB Nilikuwa napiga Pix kadri watu wanavyopita. Soo kwa mtiririko wa picha unaweza juwa nani alimaliza mapema |
![]() |
| Hawa Profesional kumbe wanaruka |
![]() |
| Duuuu |
![]() |
| Swagga la Mambo ni mengi muda ni mchache |
![]() |
| Nazani huyu dada alishinda upande wa Wanawake KM 21 simchezo 👏 |
![]() |
| Duuu safi. Alafu unakuja kumzingua lol Kapita wanaume kibao |
![]() |
| Safi |
![]() |
| Ukiona Mwili unataka kulipuka unapigwa maji |
![]() |
| Nazani hapa anahisi figo imedondoka😀 Tuache utani kichomi kinauma lol |
Kwa Picha zaidi zama hapa kwenye read more
![]() |
| Jamboooo |
![]() |
| Dah Safi sana |
![]() |
| Mzee Baba Alikuwa anashangiliwa |
![]() |
| Mpaka naingia mitamboni huyu dogo sijamuelewa |
![]() |
| Due nimemkubali huyu mzee baba. Safi sana |
![]() |
| Mambo yakiwa magumu unapa maji. Ndio raha ya Kilimarathon. |
![]() |
| Safi Frank Kaaya |
![]() |
| Safi wakilisha Regency Hotel |
![]() |
| Swagga |
![]() |
| Nimekubali Mama na Mtoto |
![]() |
| Dogo atakuja kutisha baadae |
![]() |
| Mwakani Mungu akipenda nitakusubiri hapa hapa kwenye hii kona |
![]() |
| Km 42 lol mwili umejaa misuli. |
![]() |
| Jambo sio Mchezo |
![]() |
| Jamaa anampita kama Upepo. hapo kashakimbia KM 38 |
![]() |
| Safi |
![]() |
| simchezo. Hapa mume wake nazani hula hachelewi kurudi nyumbani 😅 Unaanzaje |
![]() |
| Safi |
![]() |
| Safi I. Kajula. Tutakutana Morogoro |
![]() |
| Babuuuu. Safi. Mwakani nipo mitamboni napiga 42 😅 |
![]() |
| Mzee baba akinyoosha misuli. haps bado KM 3 kumaliza |
![]() |
| Wewe yani jioni tunapiga kinywaji kumbe unajifua. Maana nilikuwa nashanga mzee unameza maneno zaidi ya Piereee alafu uko fiti 😆 |
![]() |
| Safi |
![]() |
| Lol nimekumbruka ile Movie ya Karate Kid😆 |
![]() |
| Swagga |
![]() |
| McDonald safi |
![]() |
| Jamboooo |
![]() |
| Aika Mbeeeee |
![]() |
| Mpaka naingia mitamboni nilikuwa sijapata more info 😆 |
![]() |
| Safi |
![]() |
| safi |
![]() |
| Kimori safi |
![]() |
| Hakikisha Mwekezaji anamaliza mbio 😆 |
![]() |
| AdV Semu Safi sana |
![]() |
| Safi |
![]() |
| 101 aka Babu. Mwakani tuko pamoja |
![]() |
| safi |
![]() |
| Safi |
![]() |
| Mr Mafuru |
![]() |
| safi |
![]() |
| Morgan. Mzee tukutane Tanga Marathon |
![]() |
| safi |
![]() |
| Jambooo |
![]() |
| Safi |
![]() |
| Nice |
![]() |
| Safiiiiiii |
![]() |
| Jamboo okeyyyyy bado KM 3 in Siri Voice😆 |
![]() |
| Safi HK. Tukutane Tanga Marathon |
![]() |
| Safi |
![]() |
| Okeyyyyyyyy |
![]() |
| Its😀 okey okeyyyyyy |
![]() |
| Nice |
![]() |
| Safi |
![]() |
| Its Okey Okeyyyyy😆 |
![]() |
| Safi |
![]() |
| Hapa Konki aka piereee hawezi lipa hiiiiii😆 |
![]() |
| Mwisho wa Kunuku. Tutakutana Next time. |




























































































































































































































































































































































































































































































































































































No comments:
Post a Comment