![]() |
Manzari nzuri ya Moshi Town. Safi sana |
![]() |
Dah Yani mji ni msafi. Kiatu kikiwa na matope unakamatwa na unaambiwa ufute hayo matope unatuchafulia mji wetu! |
![]() |
Aika Mbee nimekubali |
![]() |
Dah Safi sana |
![]() |
Kwakweli hauwezi kusifia usafi wa mkoa wa kilimanjaro bila kusifia pia utamu wa nyama choma za huko. Hapo ni Super model wetu Simon akikaribishwa Kwa ndafu. |
No comments:
Post a Comment