GRM Production

Contact: Email: makupag@gmail.com
Karibu katika Ulimwengu
wa GRM Production

Wednesday, January 9, 2013

Utali wa ndani Part 1.Ndarakwai Camp

Hakika na kubaliana na ule msemo unao sema tembea uone.  Katika likizo yangu nilipata mualiko kwenda katika hi camp ya Ndarakwai. Dah kweli nimekubali Tanzania tuna vivutio vingi vya utali na sehemu nzuri za mapumziko

Ndarakwai is in the northern part of Siha District in kilimanjaro Region, between Ngare Nairobi and Tinga Tinga. The Area is generally known as 'West Kili'. Ndarakwai is 100 km from Arusha, and 90 km from Moshi

Dah hakika hi sehemu inafaa kwa maharusi kuja kupumzika. Unasikia kelele za ndege tu. Ndarakwai ina eneo lenye  ukubwa wa 11,000 acre

Ukija hapa Ndarakwai utapata

1. Day Drives-Game Drivers in open Vehicles
2.Walks. Half and full day guided walks from the camp.
3.Kilimanjaro clims by Shira Route

4. Day trips from Ndarakwai Ranch

For more info
www.ndarakwai.com


Dah Sasha akichekelea kulala kwenye Hema kwa mara yakwanza. kila saa anauliza wanyama hawawezi kuja kutumeza. 






Dah hakika nimeikubali hi camp. iko porini janami. Kweli mtu unasahau matatizo yote ukiwa huku.


Dah jamani tulikula nyama. Hapo simon anashanga kuona nyama ikichomwa kimasai zaidi


Dah nimekubali ndarakwai. 





Kutokana na wingi wa nyama ilibidi tuhamie Digital

Rehema akikata nyama


Dah ikabidi namimi nidokoe kidogo kabla haijaiva. maana udenda ulikuwa unanitoka

Ngasa alikuweko








Kifamilia zaidi safi sana






Simon akipiga msosi

Safi





Nice



Safi-Kifamilia zaidi


Safi sana. Nimekubali maswagga






Tukijianda kwenda kuangalia wanyama hapa hapa ndarakwai.  Tuliona Elephant, Zebra, Eland, Giraffe, Waterbuck, impala, yellow baboon etc


Dereva wetu. Safi sana










Hakika watoto walifurahi sana









unaweza kuwapigia Ndarakwai camp  +255 784 428 584

Dah jamani mwisho wakunuku. Nitawaletea utali wandani part 2


No comments:

Post a Comment