![]() |
| Dah hakika hi sehemu inafaa kwa maharusi kuja kupumzika. Unasikia kelele za ndege tu. Ndarakwai ina eneo lenye ukubwa wa 11,000 acre |
![]() |
| Ukija hapa Ndarakwai utapata 1. Day Drives-Game Drivers in open Vehicles 2.Walks. Half and full day guided walks from the camp. 3.Kilimanjaro clims by Shira Route 4. Day trips from Ndarakwai Ranch For more info www.ndarakwai.com |
![]() |
| Dah Sasha akichekelea kulala kwenye Hema kwa mara yakwanza. kila saa anauliza wanyama hawawezi kuja kutumeza. |
![]() |
| Dah hakika nimeikubali hi camp. iko porini janami. Kweli mtu unasahau matatizo yote ukiwa huku. |
![]() |
| Dah jamani tulikula nyama. Hapo simon anashanga kuona nyama ikichomwa kimasai zaidi |
![]() |
| Dah nimekubali ndarakwai. |
![]() |
| Kutokana na wingi wa nyama ilibidi tuhamie Digital |
![]() |
| Rehema akikata nyama |
![]() |
| Dah ikabidi namimi nidokoe kidogo kabla haijaiva. maana udenda ulikuwa unanitoka |
![]() |
| Ngasa alikuweko |
![]() |
| Kifamilia zaidi safi sana |
![]() |
| Simon akipiga msosi |
![]() |
| Safi |
![]() |
| Nice |
![]() |
| Safi-Kifamilia zaidi |
![]() |
| Safi sana. Nimekubali maswagga |
![]() |
| Tukijianda kwenda kuangalia wanyama hapa hapa ndarakwai. Tuliona Elephant, Zebra, Eland, Giraffe, Waterbuck, impala, yellow baboon etc |
![]() |
| Dereva wetu. Safi sana |
![]() |
| Hakika watoto walifurahi sana |
![]() |
| unaweza kuwapigia Ndarakwai camp +255 784 428 584 |
![]() |
| Dah jamani mwisho wakunuku. Nitawaletea utali wandani part 2 |


































































No comments:
Post a Comment