![]() |
| Jimmy and Jenifa. Safi sana. hakika mlipendeza sana |
![]() |
| Nice |
![]() |
| Maharusi wakiwa na Bestman na Matron |
![]() |
| In Love |
![]() |
| Dah Kama Mheshimiwa JK |
![]() |
| Hakika Jenifa ulilitendea haki Gauni lako |
![]() |
| Dah siamini kama ile ndoto yangu imetimia. Nahisi jimmy ndivyo alivyokuwa anasema kimoyomoyo |
![]() |
| Kanisa walipofungia pingu. Azania |
![]() |
| Maswagga ya nje yakanisa |
![]() |
| Kanisa kwa ndani. Dah hapa nilijipinda |
![]() |
| Gari lililobeba maharusi |
![]() |
| Upendo kwa wazazi |
![]() |
| Hakika mpambaji aliutendea haki ukumbi wa Brigade M-Lugalo |
![]() |
| Keki |
![]() |
| Kama Kawa Tulifunga Plazma-Samsung 50 Inc |
![]() |
| Nimekubali hili swagga la Bi Harusi |
![]() |
| Dada akiwakilisha machozi band |
![]() |
| Machozi Band |
![]() |
| Dah huyukijana wangu aliniwacha hoi na hili swagga. Situngefunga Craine! |
![]() |
| Safi sana napendaga sana napokutana na maharusi wangu. Naona Ndoa imejibu! Safi sana |
![]() |
| Jamani mwisho wakunuku. |


























































































































































No comments:
Post a Comment