![]() |
Jimmy and Jenifa. Safi sana. hakika mlipendeza sana |
![]() |
Nice |
![]() |
Maharusi wakiwa na Bestman na Matron |
![]() |
In Love |
![]() |
Dah Kama Mheshimiwa JK |
![]() |
Hakika Jenifa ulilitendea haki Gauni lako |
![]() |
Dah siamini kama ile ndoto yangu imetimia. Nahisi jimmy ndivyo alivyokuwa anasema kimoyomoyo |
![]() |
Kanisa walipofungia pingu. Azania |
![]() |
Maswagga ya nje yakanisa |
![]() |
Kanisa kwa ndani. Dah hapa nilijipinda |
![]() |
Gari lililobeba maharusi |
![]() |
Upendo kwa wazazi |
![]() |
Hakika mpambaji aliutendea haki ukumbi wa Brigade M-Lugalo |
![]() |
Keki |
![]() |
Kama Kawa Tulifunga Plazma-Samsung 50 Inc |
![]() |
Nimekubali hili swagga la Bi Harusi |
![]() |
Dada akiwakilisha machozi band |
![]() |
Machozi Band |
![]() |
Dah huyukijana wangu aliniwacha hoi na hili swagga. Situngefunga Craine! |
![]() |
Safi sana napendaga sana napokutana na maharusi wangu. Naona Ndoa imejibu! Safi sana |
![]() |
Jamani mwisho wakunuku. |
No comments:
Post a Comment