GRM Production

Contact: Email: makupag@gmail.com
Karibu katika Ulimwengu
wa GRM Production

Wednesday, November 23, 2011

The Wedding of Eliud and Stella. Chakula bado kiko jikoni! Onja Kidogo

Eliud na My Wife wake. Safi sana hakika mlipendeza sana

Nice














Nimeipenda hi Pix


Kanisa la msasani Lutheran. Dah kweli hapa kuna upako



Hakika Mpambaji aliutendea haki ukumbi wa Diamond-Kubwa

Hapa ndipo maharusi walipo kaa. Nimependa hi style


Maswagga ya Bwana harusi. Hakika huyu ni mpenzi na Shabiki wa Chelsea . Yani badala yakuandika jina lake akaweka nembo ya Zee Bluuuu

Keki ilikuwa si Mchezo. Naona kanembo cha I DO

Mambo haya yalikuwa chini ya Dorkas. Kweli dada unatisha

Nimekubali. Dah mwisho wa kuonja. Ngoja niendele na kazi

7 comments:

  1. This was the Wedding of the Year!!!!! Coctail area was also a Wowooooh. Dorka's Food was off the hook....I mean end of the line:)

    ReplyDelete
  2. Iko pouwa sana kwa kweli. keki iliandaliwa na nani na mpambaji ni nani? Naomba kujua tafadhali nimevutiwa sana. Mdau Na.1 wa GRM PRODUCTION

    ReplyDelete
  3. Aksante mdau Mapambo ni Mario alafu keki ni monica

    ReplyDelete
  4. Kaka Gabriel Unatishaaaaaaaaaaaaaaaaaa!Very nice and creative Shots!Good Job!

    ReplyDelete
  5. very nice weding.yani imependeza sana!so classic!!!

    ReplyDelete
  6. a lovely wedding indeed!May God bless the new couple!

    ReplyDelete
  7. Eliud na Chelsea, wish you a happy marriage.

    ReplyDelete