![]() |
| Elizabeth Safi sana Hakika ulipendeza sana na huu ulikuwa usiku wa kipeke. Hongera sana Dada |
![]() |
| Nice |
![]() |
| Hongera sana Mheshimiwa |
![]() |
| Safi sana hakika Elizabeth ulilitendea haki hili gauni. |
![]() |
| Hongereni sana hakika sasahivi ni Mr and Mrs |
![]() |
| Nimekubali |
![]() |
| Nice. Huwa nakubali maswagga yako |
![]() |
| Nice |
![]() |
| Huyu ndiye alikuwa MC wa shuhuli. Kaka yangu H-son |
![]() |
| Waheshimiwa walikuweko na walitowa maswagga. Safi sana |
![]() |
| Baazi ya wanakamati. Safi sana kweli mko juu. |
![]() |
| Safi sana |
![]() |
| Safi sana Mheshimiwa. |
![]() |
| Rais wetu msahafu naye alikuweko. Safi sana. Hapa alikuwa anasine kitabu cha wageni |
![]() |
| Mheshimiwa akilitendea haki Zulia Lekundu. Safi sana |
![]() |
| Elizabeth akiingia ukumbini. Safi sana |
![]() |
| Burudani zikiedelea |
![]() |
| Safi sana |
![]() |
| Elizabeth alipokuwa anamkaribisha mume wake mtarajiwa kwenye chakula cha jioni. Ila sasahivi ni Mume full |
![]() |
| Maswagga ya MC |
![]() |
| Mkono wa pongezi |
![]() |
| Jamani mwisho wakunuku. Ukitaka kupata uhondo zaidi basi wasiliana na Elizabeth |























































































No comments:
Post a Comment