GRM Production

Contact: Email: makupag@gmail.com
Karibu katika Ulimwengu
wa GRM Production

Thursday, February 16, 2012

Jinsi Kampuni ya Ensol ilivyo sherekea Miaka kumi tangu kuanzishwa kwake hapa Nchini (10th Anniversary) Na sherehe yenyewe iliratibiwa na Inner Space Afica Co.Ltd

Jamani Kampuni ya Ensol inahusika na kuuza na kufunga vifaa vya umeme juwa. Solar Energy. 

Mkurugenzi wa kampuni ya Ensol akitoa maelekezo kwa Mgeni rasmi.

Energy with a smile


Mgeni Rasmi aki sign kitabu cha wageni

















Mkurugenzi wa Ensol








Waandishi wa habari walikuweko. Hapa wakimhoji mgeni rasmi

Namuona Mkurugenzi wa Inner Space Afica Bi Liz Wachuka akiteta jambo na Mgeni rasmi. Kama sijakosea hapa mgeni rasmi alikuwa akicheki Liz akituma picha za event kwenye Facebook page. Jamani  unaweza kupata contact za Inner Space Africa Co. Ltd kwa kuzama huku.
www.ispaceafrica.com









Hakika  Inner Space nimewakubali
















Baada ya maonyesho yaliyo fanyika mchana kulikuwa na chakula cha Jioni. Na hivi ndivyo mambo yalivyokuwa



Sherehe ilifanyika katika ukumbi wa makumbusho ya taifa



Dah mbona kama huyu mkurugenzi anafanana na  .....JK..



Auncle Michuzi naye alikuweko


Katika chakula cha jioni kilicho andaliwa na kampuni ya Ensol kwa ajili ya wadau mbalimbali mgeni rasmi alikuwa Mr Ali Mfuruki


Wakurugenzi wakiteta jambo


Wadau





Mc wa shuhuli



Bi Liz MD wa Inner Space Africa katikati akitafakari jambo wakati shuhuli ikiendelea. Nazani alikuwa anatowa muongozo 












Mgeni rasmi Mr A. Mfuruki


















Mgeni rasmi akizindua Nembo mpya






Chiers











Pia Mgeni rasmi alizindua tovuti ya Ensol na hivi ndivyo mambo yalivyo kuwa




Uzinduzi ukifanyika kwa umakini kabisa


www.ensol.co.tz



Jamani kwaleo ngoja tuishie hapa. Ila ukitaka kujuwa zaidi kuhusu Ensol ingia kwenye web yao hapa
www.ensol.co.tz

2 comments:

  1. Congratulations Ensol......Thank you for helping Tanzanians stay in the light!!!!!

    ReplyDelete