GRM Production

Contact: Email: makupag@gmail.com
Karibu katika Ulimwengu
wa GRM Production

Friday, March 15, 2013

Kanisa la RC Kibosho Katika Jiji la Moshi. Utali wa Ndani Part 4

Kama Mnakumbuka niliwaletea kanisa la kwanza kuanzishwa Tanzania ambalo liko kilema basi kanisa la pili ni hili hapa . Liko katika jiji la moshi-kibosho. Kwakweli nilipokwenda sikuamini macho yangu kwanza mazingira utazani uko Itali - Rome katika uchaguzi wa Papa

Hivi nikisema niko Ufaransa au Itali kunamtu atabisha?

Kweli wanasema tembea uone. Sipati picha siku nakuja kupiga picha za harusi hapa yani itakuwa ni full Swagga

Rehema akitowa Swagga . Safi sana

Kama Kwa Papa vile. Dah Kweli napenda kuipongeza Parokia ya Kibosho kwa kulitunza hili kanisa. Linazaidi ya miaka 150



Dah safi sana


Yani Nazidi kuwasisitizia wale wanaorudigi december katika mapumziko ya X-Mass wapitie huku japo wapate baraka. Kanisa hili liko karibia na kibosho hospital.

Dah nimeikubali hi picha

Jamani Mwisho wa kunuku kiswagga zaidi. Ninawatakia weekend njema wadau na aksanteni sana kwa kutusaport. Bukoba and Mwanza Kaa mkao wakula. Samaki zitanikoma


No comments:

Post a Comment