GRM Production

Contact: Email: makupag@gmail.com
Karibu katika Ulimwengu
wa GRM Production

Tuesday, March 19, 2013

Safarini kikazi-Lake zone, Kagera-Bukoba, Shinyanga.



Samahani wadau kwakuchelewa kuapdate kablog chetu. Nikosafarini na kamamnavyojuwa mambo ya mitandao huku vijijini.
Hapa nikotowa swagga katika mto kagera

Kikazi zaidi

Kijana wangu Hamidu akiwa kikazi zaidi



Dah nimekubali hili gari kweli ni roho yapaka


Hapa wadau wakitowa swagga tokea Bukoba. Nimekikubali hichi  kipleft cha Bukoba  kina mgomba safi sana. Dumisha Asili


Safi Bukoba. Jamani sio ndizi ni sanamu. Kama ingekuwa ndizi sijui kama ingekuwa hapo


Kanisa la Bukoba RC. Hapa ndipo pale  Askofu Rugambwa alipozikwa. 

Wakati napita Mwanza nilikutana na safari nyama choma

Wadau wakisubiri nyama kwa hamu






Jamani mwisho wa kunuku tokea Bariadi. Thanks for Airtel Tanzania Ltd. Internet iko super.

No comments:

Post a Comment