 |
| Team ya RealMadrid wakiwasili katika duka la kisasa la Vifaa vya umeme Tanzania-Tropical lililoko Victoria. |
 |
| Hili jengo la tropical liko upande wakulia kama unatokea mwenge baada ya kituo cha mafuta victoria. Liko barabarani kabisa |
 |
| Mheshimiwa Meya wa kinondoni akitowa neno |
 |
| Mheshimiwa Balozi wa Zambia akitowa neno. Zambia ni nchi mojawapo inayo tumia vifaa vya umeme vya tropical. |
 |
| Uzinduzi wa Jengo, duka , na showroom ya Tropical |
 |
| Mchezaji wa Realmadrid akishanga kuona vifaa vya kisasa. Alizani yuko Hispania kumbe ni hapa hapa bongo |
 |
| haamini anachokiona! |
 |
| Bado anaendelea kushanga |
 |
| Toti akiingia ndani ya duka la Tropical |
 |
| Akitowa swagga na warembo wa tropical |
 |
| Uzalendo ulimshinda ikabidi apige Selfie-Binafsi na taa. Chezea bidha za tropical. Nahisi huyu mchezaji anajenga nyumba maana kachukua contact na kauliza kama tropical wanaweza kumtumia mzigo Hispania! |
 |
Kweli taa za tropical zimemchanganya. Mimi mwenyewe nimezikubali na ukija GRM utakuta nimezifunga. Mwenyemacho
haambiwi tazama
Kwa Maswagga zaidi zama hapa kwenye Read More
|
 |
| Shampeni. Mambo ya Moet |
 |
| Miss Tanzania naye alikuja kusupport Tropical |
Nikipiga binafsi-'Selfie' na baadhi ya wachezaji Totii. Jembe la Itali
Kwa Maswagga zaidi zama hapa kwenye Read more
 |
| Miss Tanzania naye alikuweko |
 |
| mchezaji wa Realmadrid akitowa neno la shukwani |
 |
| Mratibu wa shuhuli akipunga upepo baada ya kazi nzito. Safi sana |
 |
| Karambeu akipiga picha na Mr Ngowi-Tropical |
 |
| Mr Mlawa-Tropical |
 |
| Namuona Mbunge kwa Mbali. Safi sana |
 |
| Jamani Mwisho wakunuku |
No comments:
Post a Comment