![]() |
Hakika Flavian na Norah Walitokelezea. Safi sana |
![]() |
Hongera sana Flavian na Norah |
![]() |
Hakika Mpambaji aliutendea haki ukumbi wa M-Tower hapa Sayansi. Yani ukitoka kwenye shuhuli unashuka Chini unaingia Maisha Club kwa ajili ya After Party lol |
![]() |
Nimekubali hi keki |
![]() |
Mwisho wakunuku kwa Leo. Chakula Bado kiko Jikoni |
No comments:
Post a Comment