GRM Production

Contact: Email: makupag@gmail.com
Karibu katika Ulimwengu
wa GRM Production

Friday, September 13, 2013

The Wedding of David and Christencious. Onja kidogo jinsi mambo yalivyojiri katika jiji la Moshi.

David and Christencious hakika  walipendeza sana.





Dah nimekubali hili gauni la Christencious. Hakika alilitendea haki.


Nice
Kwa maswagga zaidi zama hapa kwenye read more 




Nice



Nice


Dah pia nimpongeze Baba na Mama wa David Kwa kutunza gardern. Jamani tangu nasoma shule ya primary walikuwa wanapenda  gardern balaa. Nikipita wakati nakwenda kuogelea Katika shule ya ISM Moshi basi utakuta mzee ananyeshea gardern. Safi sana. Alafu mzee hazeeki kweli sijui siri ya mafanikio yake ila moja ni kumcha Mungu. Namkumbuka sana mzee katika ibada za nyumba kwa nyumba Shanty Town.

Kweli nimekubali rangi ya harusi. Safi sana


Nice


I belive i can fly. Nimewakubali the 'boys'

Swagga









Safi sana. kweli maharusi walifurahi sana 










Hakika Christencious alijipanga sana. Ilipofika jioni alibadili gauni kwa sababu Ndoa nikanisani na ukumbini ni party. Kweli kwa Tanzania bado tunakazi ila mambo yanaanza kubadili. Zile 'protocali' za harusi zinaanza kupungua na watu wanaanza kuweka burudani . Juzi juzi kunaharusi tumefanya mwanzo mpaka mwisho ni Nasaa. Hakuna kucheza hata mziki. Mziki unacheza saa unakwenda kutowa zawadi. Ila harusi hi kweli ilikuwa ni burudani mwanzo mpaka mwisho. Safi sana

The Girls nao walibadili swagga. Safi sana



I love this Pix


Nice. I wish ingekuwa ndio harusi yangu. Safi sana maharusi na kamati. Hakika Jiji la Moshi lilitingishika.




I love this pix

Nice.  Maswagga haya ya barabarani kwa Dar es salaam huwa ningumu. kwanza joto. Maharusi wasipopigwa na kipupwe mchana sijui hizo makeup kama zitabaki, alafu Polisi wetu wa barabarani wakati mwingene hawaoni huruma. Juzi juzi hapa kuna maharusi walipigwa bao kisa wametanua. 











Upendo kwa Wazazi




The family




























Familia ya David ikienda kumchukua mpora. kimila zaidi


David akiwa mpole anamsubiri mpora. Hapa ilikuwa majira ya 7:30 am. Namuona Ndeee. Kijana naona shavu. chezea maisha ya ndoa.

Hatimaye mpora akatoka ndani



Kanisa la Lutheran Moshi mjini. Nakumbuka Nilibatizwa  na kupata Kipaimara hapa.




Nice











Swagga za gari





Hatimaye moshi tumepata ukumbi wenye Kipupwee. Dah hu ukumbi uko karibia na Kipita shoto cha Arusha

Keki










Ndafuuuuu







Chezea muke wa David


'DonWilliam'. Safi sana. Mzee anajuwa kuimba .




First Dance








Jamani mwisho wakunuku. Wadau wa GRM production nawatakia weekend njema.

3 comments:

  1. Dah harusi imependeza mpaka rahaaaaaaaaa

    ReplyDelete
  2. Wedding of the year..tulikula bata...na burudani mwanzo mwisho...God bless your marriage MR&MRS DAVID NKYA!!!!!!!

    ReplyDelete
  3. Aise...We had a blast, the best day ever!! Asante sana Familia kwa yote mliyofanya kuhakikisha siku inakuwa nzuri hivi. Mama, Baba, Aisa, Stephen, Vida, Edward, Angela and Ruth. Pili, shukrani kwa kamati nzima kwa yote mliyojitolea. Siku ilikuwa nzuri sana. Hata tukirudia tena, hakuna tutakachobadilisha. Shukrani nyingi kwa familia ya Zambia. Poleni kwa safari ndefu ya kuja Moshi. Na mwisho asante GRM kwa kazi uliyofanya! God Bless you all...

    Mr & Mrs D Nkya

    ReplyDelete