 |
| Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Mohammed Gharib Bilal ndie alikuwa mgeni rasmi. |
 |
| Safi |
 |
| Makamu huwa anapendezaga sana kwenye picha |
 |
Nilipenda hotuba yake. Nitawaletea next week.
|
Kwa picha zaidi zama hapa kwenye Read more
kwa Picha zaidi zama hapa kwenye Read more
 |
| Zawadi kwa Mgeni rasmi |
 |
| Wakandarasi |
 |
Kweli nimependa jinsi wakandarasi walivyo anzisha utaratibu wa kula kiapo. Sasa inabidi na sisi wapiga picha tuanze kula kiapo! |
 |
| Naona Eng Muhegi akila kiapo. Safi sana |
 |
| Mheshimiwa akila kiapo. Sasa wale wakandarasi wanaojenga majengo chini ya kiwango wajipange. |
Kwa picha zaidi zama hapa kwenye read more
 |
| Vijana wangu wakiwa kazini |
 |
| Mwisho wakunuku Day 1 |
No comments:
Post a Comment