|  | 
| Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Mohammed Gharib Bilal ndie alikuwa mgeni rasmi. | 
|  | 
| Safi | 
|  | 
| Makamu huwa anapendezaga sana kwenye picha | 
|  | 
| Nilipenda hotuba yake. Nitawaletea next week. 
 
 | 
Kwa picha zaidi zama hapa kwenye Read more
kwa Picha zaidi zama hapa kwenye Read more
|  | 
| Zawadi kwa Mgeni rasmi | 
|  | 
| Wakandarasi | 
|  | 
| Kweli nimependa jinsi wakandarasi walivyo anzisha utaratibu wa kula kiapo. Sasa inabidi na sisi wapiga picha tuanze kula kiapo!
 | 
|  | 
| Naona Eng Muhegi akila kiapo. Safi sana | 
|  | 
| Mheshimiwa akila kiapo. Sasa wale wakandarasi wanaojenga majengo  chini ya kiwango wajipange. | 
Kwa picha zaidi zama hapa kwenye read more
|  | 
| Vijana wangu wakiwa kazini | 
|  | 
| Mwisho wakunuku Day 1 | 
 
No comments:
Post a Comment