GRM Production

Contact: Email: makupag@gmail.com
Karibu katika Ulimwengu
wa GRM Production

Friday, June 6, 2014

Tanzania ya kwanza Afrika Mashariki katika usafiri wa mabasi yaendayo kasi-Waziri mkuu Mizengo Pinda

Dar Rapid Transit Agency-Market Consultation Session for Phase 1 
Waziri mkuu Mizengo pinda ndiye alikuwa mgeni rasmi. Alifungua mkutano wa majadiliano wa kutangaza mradi wa mabasi yaendayo haraka kwenye ukumbi wa Mlimani city.


Safi
Mku wa Mkoa wa DSM akimpa maelezo  Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe Hawa Ghasia



Mkurugenzi wa Dart. Safi sana.

Mc au Mratibu wa mkutano


Kwa Picha zaidi zama hapa kwenye Read more



Wadau na wawekezaji kwenye sekta ya Usafiri.




Waziri Mkuu akitowa maelekezo.


'Mradi uanze maramoja. Nataka kuyaona hayo mabasi barabarani'


Kituo cha kimara. Safi sana kweli Dart wanahitaji pongezi. Jiji la Dar es salaam limebadilika

Hapa ni kimara


Ubungo


Kituo cha kigamboni cha mabasi yaendayo kasi

kigamboni









Wawekezaji wazawa!!!!kwenye sekta ya usafiri

















Mwisho wakunuku


No comments:

Post a Comment