![]() |
| Dar Rapid Transit Agency-Market Consultation Session for Phase 1 |
![]() |
| Waziri mkuu Mizengo pinda ndiye alikuwa mgeni rasmi. Alifungua mkutano wa majadiliano wa kutangaza mradi wa mabasi yaendayo haraka kwenye ukumbi wa Mlimani city. |
![]() |
![]() |
| Safi |
![]() |
| Mku wa Mkoa wa DSM akimpa maelezo Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe Hawa Ghasia |
![]() |
| Mkurugenzi wa Dart. Safi sana. |
![]() |
| Mc au Mratibu wa mkutano |
Kwa Picha zaidi zama hapa kwenye Read more
![]() |
| Wadau na wawekezaji kwenye sekta ya Usafiri. |
![]() |
| Waziri Mkuu akitowa maelekezo. |
![]() |
| 'Mradi uanze maramoja. Nataka kuyaona hayo mabasi barabarani' |
![]() |
| Kituo cha kimara. Safi sana kweli Dart wanahitaji pongezi. Jiji la Dar es salaam limebadilika |
![]() |
| Hapa ni kimara |
![]() |
| Ubungo |
![]() |
| Kituo cha kigamboni cha mabasi yaendayo kasi |
![]() |
| kigamboni |
![]() |
| Wawekezaji wazawa!!!!kwenye sekta ya usafiri |
![]() |
| Mwisho wakunuku |

















































No comments:
Post a Comment