GRM Production

Contact: Email: makupag@gmail.com
Karibu katika Ulimwengu
wa GRM Production

Wednesday, April 25, 2012

Heineken Mansion ndani ya Bongo Land. Jamani wale wapenzi wa Heineken basi kaeni mkao wa kunywa.

Hakika ukipata mualiko wa kuja huku ndani ya hili jumba la Heinken daima huta kaa usahau siku hiyo. Kwanza ni full Heinken, nyama choma, usafiri unapewa na garama yake ni free. Haulipi chochote. 


Jamani ukitaka unajihudumia mwenyewe

Sehemu ya michezo


Play Station kama kawa

TV 80 inc kama kawa Uefa Live



Heineken Mansion kwa nje



Usafiri wa kuwachukuwa wadau. Unajuwa ukija huku ndani ya jumba kazi ni moja tu kunywa, kula kufurahi. hauna haja yakufikiria utarudi vipi nyumbani ukiwa chicha. unarudishwa na gari hili


Kwa hapo nimewakubali Heineken

DJ 

Ukifika tu ndani ya jumba unakaribishwa na hawa wadada alafu unapatiwa heineken Baridiiiiiii


Wadau wakicheki mpira Live


Muke ya muzungu (Mange)naye alipata mualiko



Kama kawa namimi nikatowa swagga

Karabani. Dah nimeipenda hi picha sana

Michael Hongera sana Bro huyu jamaa ndio host mwenyewe. au Baba mwenye nyumba

Nice



ukija huku pia unapata nafasi ya kujishindia zawadi mbalimbali za heineken. hapa Karabani alijishindia carton ya heineken


Wadau wakifurahia Heineken. Yani ukija unakabiziwa kindo kimeja Heineken Baridiiiiiiii




Hi Nijana Wadau wa Chelsea wakishangilia lile goli la ushindi

Mzuka

Ruben mwenye T-shirt ya kijani naye alishindwa kuficha hisia zake. Safi sana




Mzuka




Nice



Nimekubali haya maswagga

Dah kwaleo ngoja niishie hapa tutakutana ndani ya jumba tena 

1 comment:

  1. Nothing for Free my dear Brother, Mwisho wa siku lazima utokwe kitu.
    Anyway imekaa vizuri, hongera Henaken

    ReplyDelete