![]() |
| Nakumbuka hapa kanumba alikuja kunitembelea ofisini kwangu akiwa na Ray na JB |
![]() |
| Kanumba akiwa na JB |
![]() |
| Kanumba akiwa na Adolf wa Wenge |
![]() |
| Nakumbuka hapa tulikuwa tuna mkabizi adolf simu |
![]() |
| Nakumbuka tulipiga picha Baada ya kumkabidhi simu adolf kama zawadi baada ya kutembelea ofisi za kanumba-Kanumba house na GRM production |
![]() |
| Kanumba na TK |
![]() |
| Nakumbuka hapa kanumba alifanyiwa suprise birthday party na Silvia Sharry |
![]() |
| alipo ingia tuu kwenye ukumbi wa GRM Production nakumbuka tulimmwagia maji |
![]() |
| Ray na Kanumba. Hakika Ray utamiss swaiba wako sana. |
![]() |
| Kanumba na P.Mwamba |
![]() |
| Kanumba akitaniana na Ray |
![]() |
| Kanumba akimkabizi adolf Simu |
![]() |
| Akimkabidhi DVD |
![]() |
| Hakika kanumba alikuwa ni mtu wa watu, mwenye upendo, hana majivuno. I will miss u my Friend R.I.P |



















DAA!! KANUMBA THE GREAT UR THE ACTOR I LV MOST
ReplyDeleteMUNGU AKUPE PUMZIKO LA AMANI UONE MWANGA WA MILELE