GRM Production

Contact: Email: makupag@gmail.com
Karibu katika Ulimwengu
wa GRM Production

Wednesday, April 11, 2012

Jinsi nilivyo mfahamu Kanumba (1984-2012) Vol 1 Hakika Kanumba likuwa mtu wa watu, mwenye upendo wala hakuwa na maringo.

Nakumbuka hapa kanumba alikuja kunitembelea ofisini kwangu akiwa na Ray na JB

Kanumba akiwa na JB

Kanumba akiwa na Adolf wa Wenge

Nakumbuka hapa tulikuwa tuna mkabizi adolf simu

Nakumbuka tulipiga picha Baada ya kumkabidhi simu adolf kama zawadi baada ya kutembelea ofisi za kanumba-Kanumba house na GRM production


Kanumba na TK

Nakumbuka hapa kanumba alifanyiwa suprise birthday party na Silvia Sharry  

alipo ingia tuu kwenye ukumbi wa GRM Production nakumbuka tulimmwagia maji

Ray na Kanumba. Hakika Ray utamiss swaiba wako  sana.

Kanumba na P.Mwamba


Kanumba akitaniana na Ray






Kanumba akimkabizi adolf Simu

Akimkabidhi DVD 

Hakika kanumba alikuwa ni mtu wa watu, mwenye upendo, hana  majivuno. I will miss u my Friend R.I.P



1 comment:

  1. DAA!! KANUMBA THE GREAT UR THE ACTOR I LV MOST
    MUNGU AKUPE PUMZIKO LA AMANI UONE MWANGA WA MILELE

    ReplyDelete