![]() |
Nikiwa na Kanumba. I will Miss u. Dah kwakweli nimekuwa nikipiga picha muda mrefu ila mpaka leo sijui kwanini mtu akifariki unakuwa hauoni picha zake. |
![]() |
Rafiki umeondoka mapema sana najuwa iko siku tutakutana tena |
![]() |
R.I. P |
![]() |
'Bwana ametowa na Bwana ametwa' |
No comments:
Post a Comment