![]() |
Edson na My wife wake Magreth. |
![]() |
Safi sana |
![]() |
Bi Harusi Magreth na Matron Wake. Safi sana |
![]() |
Nice |
![]() |
Maharusi na Wasimamizi wao |
![]() |
Bwana Harusi na Best Man |
![]() |
Best man na Matron nao walitowa swagga |
![]() |
Kanisa walilofungia pingu St Albans |
![]() |
Maharusi wakisoma neno takatifu |
![]() |
Edson akimtandika pingu Magreth |
![]() |
Pingu |
![]() |
Edson nae akitandikwa Pingu |
![]() |
Kama Unavyojuwa huu ni msimu wa harusi. Basi wakati tuko kanisani nilikutana na hawa maharusi. Bahati mbaya sikuweza pata majina yao. Kweli wamependeza. |
![]() |
Hata hawa nao walikuweko na walipigana pingu za maisha. |
![]() |
Maharusi wakipewa neno |
![]() |
Edson akisine mkataba wa kuishi pamoja |
![]() |
Magreth akisine mkataba wa kuishi pamoja |
![]() |
Hapa namuona Edson akiupitia mkataba. Sasa kwani ulisine bila kusoma? Naona alikuwa anakiangalia kile kifungu kinachosema. Mpaka kifo kiwatenganishe. |
![]() |
Naona Best man akawa anatowa muongozo. |
![]() |
Baada ya Kutandikana pingu wakatoka kwa Furaha |
![]() |
Keki ya Harusi. Reception New Africa Hotel |
edson na magreth nyie wazuri sana mmetoka mwake
ReplyDeleteOoh my goodness! So that is the beautiful bride...hongera sana Edson! I am soo happy for you. Wishing you all the best in life.Xx
ReplyDelete