![]() |
Eineus Kaijage na my wife wake Claudia Kyaruzi |
![]() |
Safi sana hakika mmependeza |
![]() |
Nice |
![]() |
Maharusi wakiwa na wapambe wao |
![]() |
Bi Claudia hakika umependeza |
![]() |
Safi sana |
![]() |
Maharusi wakiingia kanisani |
![]() |
Gari lililobeba maharusi |
![]() |
Kanisa walilofungia pingu |
![]() |
Maharusi wakitandikana Pingu |
![]() |
Eineus akimtandika pingu Claudia |
![]() |
Claudia akimtandika pingu Eineus |
![]() |
Pingu walizotandikana |
![]() |
Bwana Harusi akisine mkataba wakuishi pamoja huku baba paroko akiwa makini kabisa |
![]() |
Bibi harusi nae akasine. |
![]() |
Wakakabiziwa mikataba yao. |
![]() |
Bi harusi akikata keki |
![]() |
Wageni waalikwa wakiserebuka |
![]() |
Pia kulikuwa na burudani zakufa mtuu |
![]() |
Wakati wa zawadi |
![]() |
Kamati ya Harusi |
![]() |
Bwana Harusi akimlisha Mke wake. Wenye wivu wajinyonge. |
No comments:
Post a Comment