![]() |
| Kawina na My Wife wake Belinda. Kweli walipendeza sana |
![]() |
| Safi sana. Na sherehe ilikuwa Diamond VIP Hall |
![]() |
| Nice |
![]() |
| Safi |
![]() |
| Bwana harusi Kawina na Bestman |
![]() |
| Maharusi wakiwa na wasimamizi wao |
![]() |
| Upendo kwa Wazazi |
![]() |
| Upendo kwa wazazi |
![]() |
| Best Man |
![]() |
| Biharusi akiwa na Matron |
![]() |
![]() |
| Matron Safi sana |
![]() |
| Safi |
![]() |
| Best Man |
![]() |
| Bwana Harusi Kawina |
![]() |
| Kwaweli harusi ilifana sana ila kitu ambacho pia kilifurahisha ni jinsi maharusi walivyoingia ukumbini. Kama unavyoona maharusi walipita juu ya kapeti chapa mtu! |
![]() |
| Watu wakiwa wamelala chini tayari kabisa kwa maharusi kupita juu yao |
![]() |
| Maharusi wakiingia |
![]() |
| Bwanaharusi akipita juu ya kapeti chapa mtu! Safi sana yani Hata mtoto wa mfalme wa uingereza hakupata hii heshima! |
![]() |
| Safi sana dumisha mila baba |
![]() |
| Nimekubali baba |
![]() |
| Biharusi naye akipita juu ya kapeti chapa mtu! |
![]() |
| Safi |
![]() |
| Nice |
![]() |
| Hatimaye maharusi wakafanikiwa kuingia ukumbini kwa kukanyaga kapeti chapa mtu! Safi sana! |
















































No comments:
Post a Comment