![]() |
Kawina na My Wife wake Belinda. Kweli walipendeza sana |
![]() |
Safi sana. Na sherehe ilikuwa Diamond VIP Hall |
![]() |
Nice |
![]() |
Safi |
![]() |
Bwana harusi Kawina na Bestman |
![]() |
Maharusi wakiwa na wasimamizi wao |
![]() |
Upendo kwa Wazazi |
![]() |
Upendo kwa wazazi |
![]() |
Best Man |
![]() |
Biharusi akiwa na Matron |
![]() |
![]() |
Matron Safi sana |
![]() |
Safi |
![]() |
Best Man |
![]() |
Bwana Harusi Kawina |
![]() |
Kwaweli harusi ilifana sana ila kitu ambacho pia kilifurahisha ni jinsi maharusi walivyoingia ukumbini. Kama unavyoona maharusi walipita juu ya kapeti chapa mtu! |
![]() |
Watu wakiwa wamelala chini tayari kabisa kwa maharusi kupita juu yao |
![]() |
Maharusi wakiingia |
![]() |
Bwanaharusi akipita juu ya kapeti chapa mtu! Safi sana yani Hata mtoto wa mfalme wa uingereza hakupata hii heshima! |
![]() |
Safi sana dumisha mila baba |
![]() |
Nimekubali baba |
![]() |
Biharusi naye akipita juu ya kapeti chapa mtu! |
![]() |
Safi |
![]() |
Nice |
![]() |
Hatimaye maharusi wakafanikiwa kuingia ukumbini kwa kukanyaga kapeti chapa mtu! Safi sana! |
No comments:
Post a Comment