GRM Production

Contact: Email: makupag@gmail.com
Karibu katika Ulimwengu
wa GRM Production

Monday, September 3, 2012

Puma Energy Rally of Tanzania 2012. Pole sana S.Mohamed and M.Mutama Dah onja kidogo. Exclusive

Mohamed and Mutama wakijianda kuanza Rally

Dah nilipokuwa napiga picha sikuamini macho yangu. Kila mtu alikuwa anawategemea kuwa huenda ndio wangeshinda rally. 

Dah kwakweli nilipokuwa napiga hizi picha nilikuwa nasali jama wapone wasije poteza maisha. Kweli mungu mkubwa

Kiutaalam nasema i was at wrong place with Right Camera and Lens(Nikon D3X and Lens 28-300 MM) Nikimaanisha nilikuwa nimesimama mbali sana na tukio





Dah kioo kikichomoka. Yani hapa ni nusu sekunde ila thanks kwa Camera yangu haijawahi kuniangusha hatasikumoja



Dah jama walichomoka bila hata kuchafuka wala kuumia. Kweli Mungu ni Mkubwa




Kweli ingekuwa nizile gari zetu za kimagumashi sizani kama kunamtu angechomoka akiwa mzima





Bahatimbaya Rejeta ilipasuka ila jama waliaka kuendelea na Rally



Dah Mchina wa gerage ya sinza akiwahi dili ya kunyoosha gari. Jamaa yuko faster. Kweli kufa kufaana!

kamanda

Kamanda




Nikimpa pole kamanda. Jamani Rally bado inaendelea nitawaletea matukio zaidi.

1 comment:

  1. Thank you very much and keep up the good work
    mutuma a.k.a Kamanda

    ReplyDelete