![]() |
Lady Jaydee akiwasha moto. |
![]() |
Nimekukubali dada |
![]() |
Mheshimiwa Sugu alikuweko |
![]() |
Sugu Motochini... Dah alinikumbusha enzi hizo. |
![]() |
Kama kawa mheshimiwa alipewa saluti zake |
![]() |
M 2 The P naye aliibuka na kushukuru wa Tanzania kwa kuwa naye bega kwa bega katika kipindi hichi kigumu kwake. |
![]() |
Juma Nature naye aliwasha moto |
![]() |
Kama Kawa Dj Choka alikuweko mitamboni. Safi sana |
![]() |
Dah kunamichecho hapa duniani ila huuu mhhh. Jama nimemkubali. huyu chatu ni mzito |
![]() |
Duuuuuuuh . Nilipokuwa nampiga hi picha nilisikia ananguruma nikajuwa kakasirika. Huwa namfuatiliaga sana huyu chatu. Ila siku hii alikuwa anahasira. |
![]() |
Mashabiki wa Lady Jaydee wakitowa swagga la anakonda |
![]() |
Prof J naye alikuweko |
![]() |
Dj Choka Naye aliwasha moto |
For More Pix zama hapo kwenye Read More
![]() |
Wadua wakinukuuu matukio mbalimbali |
![]() |
Kazi yakupiga picha sio rahisi jamani |
![]() |
Upendo kwa Mama |
![]() |
Rehama akitowa swagga |
![]() |
Jamani Mwisho wakunuku. All the Best Lady Jaydee |
No comments:
Post a Comment