![]() |
| Lady Jaydee akiwasha moto. |
![]() |
| Nimekukubali dada |
![]() |
| Mheshimiwa Sugu alikuweko |
![]() |
| Sugu Motochini... Dah alinikumbusha enzi hizo. |
![]() |
| Kama kawa mheshimiwa alipewa saluti zake |
![]() |
| M 2 The P naye aliibuka na kushukuru wa Tanzania kwa kuwa naye bega kwa bega katika kipindi hichi kigumu kwake. |
![]() |
| Juma Nature naye aliwasha moto |
![]() |
| Kama Kawa Dj Choka alikuweko mitamboni. Safi sana |
![]() |
| Dah kunamichecho hapa duniani ila huuu mhhh. Jama nimemkubali. huyu chatu ni mzito |
![]() |
| Duuuuuuuh . Nilipokuwa nampiga hi picha nilisikia ananguruma nikajuwa kakasirika. Huwa namfuatiliaga sana huyu chatu. Ila siku hii alikuwa anahasira. |
![]() |
| Mashabiki wa Lady Jaydee wakitowa swagga la anakonda |
![]() |
| Prof J naye alikuweko |
![]() |
| Dj Choka Naye aliwasha moto |
For More Pix zama hapo kwenye Read More
![]() |
| Wadua wakinukuuu matukio mbalimbali |
![]() |
| Kazi yakupiga picha sio rahisi jamani |
![]() |
| Upendo kwa Mama |
![]() |
| Rehama akitowa swagga |
![]() |
| Jamani Mwisho wakunuku. All the Best Lady Jaydee |




































































































































No comments:
Post a Comment