![]() |
| Stage ikiwa tiyari kabisa katika hoteli ya goldern tulip |
![]() |
| Zawadi mbalimbali ambazo wageni walikuwa wanajishindia walipokuwa wanakunywa Redds |
![]() |
| Kama Kawa hi ni bonge la Energy Drink. Inaitwa Chilly Willy. Naikubali sana. |
![]() |
| Muandaji wa Miss Kinondoni akisalimia wageni waalikwa |
![]() |
| Kama kawa DJ..... alikuweko akifanya mambo. Safi sana |
![]() |
| Huyu ndiye Redds Miss Kinondoni 2013. Na hapa akiwa na vazi la ubunifu. Nitawaletea safari nzima ya huu mchakato |
![]() |
| Safi sana |
Kwa Maswaaga zaidi zama hapa
![]() |
| Redds Miss Tz akiangalia mchakato mzima . Kama unakumbuka Miss Tz ndiye alikuwa Miss Kinondoni. Kwahiyo hapa anajianda kukabizi taji la miss Kinondoni 2013 |
![]() |
| Kwa sasahivi naishia hapa. Bado maswagga yanakuja. |














































No comments:
Post a Comment