![]() |
| Nikiongeza vifaa vipya vya kazi |
![]() |
| Nikiwa katika studio ya mwalimu wangu wa photography Dubai |
![]() |
| Nikibadilishana mawazo na mwalimu wangu wa mambo ya picha. Jama ni best photographer in Dubai |
![]() |
| Nikiangalia setup mpya ya studio ya picha |
![]() |
| Vifa vipya |
![]() |
| Album mpya za picha |
![]() |
| Hu mtambo nimeupenda sana na nimesha ushusha bongo. kazi yake ni kubadilisha rangi ya background wakati unapiga picha |
![]() |
| Album mpya nilizo zishusha |
![]() |
| Kempiski Dubai simchezo |
![]() |
| Vitoboa anga vya dubai |
![]() |
| Emirate tower |
![]() |
| Waarabu ni noma. wamejitengenezea barafu yao |
![]() |
| Nimekubali |
![]() |
| Ugonjwa |
![]() |
| Jengo refu kuliko yote duniani |
![]() |
| Hi meli ni restorant inayo elea. Unapata chakula cha jioni huku ukizunguka baharini |
![]() |
| Dah maapartment yakufa mtu! |
![]() |
| Hu sio msafara wa harusi. Ni mdau akienda katika shuhuli zake. Kweli waarabu wanatisha! |
![]() |
| Nimekubali |































No comments:
Post a Comment