![]() |
Nikiongeza vifaa vipya vya kazi |
![]() |
Nikiwa katika studio ya mwalimu wangu wa photography Dubai |
![]() |
Nikibadilishana mawazo na mwalimu wangu wa mambo ya picha. Jama ni best photographer in Dubai |
![]() |
Nikiangalia setup mpya ya studio ya picha |
![]() |
Vifa vipya |
![]() |
Album mpya za picha |
![]() |
Hu mtambo nimeupenda sana na nimesha ushusha bongo. kazi yake ni kubadilisha rangi ya background wakati unapiga picha |
![]() |
Album mpya nilizo zishusha |
![]() |
Kempiski Dubai simchezo |
![]() |
Vitoboa anga vya dubai |
![]() |
Emirate tower |
![]() |
Waarabu ni noma. wamejitengenezea barafu yao |
![]() |
Nimekubali |
![]() |
Ugonjwa |
![]() |
Jengo refu kuliko yote duniani |
![]() |
Hi meli ni restorant inayo elea. Unapata chakula cha jioni huku ukizunguka baharini |
![]() |
Dah maapartment yakufa mtu! |
![]() |
Hu sio msafara wa harusi. Ni mdau akienda katika shuhuli zake. Kweli waarabu wanatisha! |
![]() |
Nimekubali |
No comments:
Post a Comment