![]() |
Angel safi sana hakika ulipendeza sana |
![]() |
Nice |
![]() |
Angel akiwa na Matron wake |
![]() |
Safi sana |
![]() |
Nimekubali hili Swagga |
![]() |
Angel akiwa na mume wake. Ila hapa walikuwa bado hawajapigana pingu za Maisha |
![]() |
Nice |
![]() |
Best man na Matron |
![]() |
Namimi nikatowa swagga |
![]() |
Makirikiri walikuweko |
![]() |
Bi Angel akiingia ukumbini |
![]() |
Keki |
![]() |
Chiers!!!!! |
![]() |
FM walikuweko si mchezo. Yani ilikuwa ni Kikosi kamili. Nakumbuka tulimaliza kazi Asubuhi |
![]() |
Samaki anavipande vingapi??? |
![]() |
Swagga la kumtafuta Mume mtarajiwa |
![]() |
Safi sana kwa kutunzia kijana wetu. Naona tangu afunge pingu shavu linatoka. |
![]() |
Hatimaye mume mtarajiwa akapatikana |
![]() |
Maakuli |
![]() |
Bongo FLV naipenda |
![]() |
Wadau |
![]() |
Mwisho wa kunuku |
Habari za siku.
ReplyDeleteKama mwanablogu kutoka Tanzania,nakuomba kushiriki kuchangia Mchakato wa KUFUFUA JUMUWATA(Jumuiya ya Wanablogu Tanzania).
Tafadhali naomba ufungue hii kurasa ya
http://blogutanzania.blogspot.com/
kisha upendekeze jinsi ya kufufua JUMUWATA.
Ahsante
Luiham Ringo.