![]() |
Kikosi kamili cha Grm Producton |
![]() |
Tukipozi picha ya pamoja |
![]() |
Kijana wangu mwingine wa picha Sale |
![]() |
Kamera man wangu akijaribu reli |
![]() |
Ilikuhakikisha mambo yanakwenda vizuri na tunafuatilia matukio yote tulifunga control center. kijana wangu wa sound akiwa makini. hapa tulifunga video mix , Audio Mix, Imac, Macbookpro etc. |
![]() |
Muonekano wa stage |
![]() |
Lusubilo akifunga projector |
![]() |
Vijana wa Mze Minja wakiwa kazini. Hawa ndio walifunga sound ambapo Alikiba naye aliimba ule wimbo wa One8 |
![]() |
![]() |
Kama unavyojuwa shuhuli haiwezi kukamilika bila kupambwa . kama kawa Lotus Creative Concepts walifanya mambo makubwa sana kwenye upambaji |
![]() |
Mambo ya Lotus |
![]() |
Dah jama wanatisha |
![]() |
Mpaka wahudumu nao walipambwa! |
![]() |
Ukumbi ulipendeza sana |
![]() |
Hapa palikuwa pakupigia picha. Hili kochi limejizolea sifa Africa. Nitawaletea yalio jiri hapa kwenye kochi |
![]() |
Kama kawaida tuliweka mobile studio yetu hapa |
![]() |
Nikiwa kazini |
![]() |
Huyu dada kushoto ndio aliyekuwa anashuhulikia mambo ya vinywaji |
![]() |
Kweli hawa ni wataalam |
![]() |
Kama Kawa Nyama choma zakumwaga |
No comments:
Post a Comment