![]() |
Vijana wa FM Hawakuwa nyuma. Nao walipiga picha kwenye kochi |
![]() |
Kila mtu alibuni swaga lake |
![]() |
Naona Kinaja wangu Hamidu nae alipozi |
![]() |
Swaga za FM Academia |
![]() |
Nimekubali hili swaga |
![]() |
Warembo nao hawakuwa nyuma. kama unavyowaona kweli wamependeza |
![]() |
Dah simchezo |
![]() |
Namimi Uzalendo ulinishinda nikapozi nikiwa na Mr C. Magavila |
![]() |
Nitazidi kuwapa detail zaidi kuhusu yaliyojiri siku hiyo |
No comments:
Post a Comment