![]() |
| Vijana wa FM Hawakuwa nyuma. Nao walipiga picha kwenye kochi |
![]() |
| Kila mtu alibuni swaga lake |
![]() |
| Naona Kinaja wangu Hamidu nae alipozi |
![]() |
| Swaga za FM Academia |
![]() |
| Nimekubali hili swaga |
![]() |
| Warembo nao hawakuwa nyuma. kama unavyowaona kweli wamependeza |
![]() |
| Dah simchezo |
![]() |
| Namimi Uzalendo ulinishinda nikapozi nikiwa na Mr C. Magavila |
![]() |
| Nitazidi kuwapa detail zaidi kuhusu yaliyojiri siku hiyo |










No comments:
Post a Comment