![]() |
Eric na My Wife wake |
![]() |
Nakumbuka kama Eric hapa alikuwa anasema i love u baby |
![]() |
Lazima japo ubebe mali zako. |
![]() |
Picha ya pamoja |
![]() |
Safi sana |
![]() |
Annie aka The Wife. Kweli dada ulipendeza sana. Hata staile ya nywele ilifunika. Sijawahi iona bongo. |
![]() |
Eric aka Husband. Safi sana |
![]() |
Gari walilopanda maharusi. nimependa lilivyo pambwa. |
![]() |
Kanisa walipofungia ndoa. Azania |
![]() |
Mpaka kanisa lilipambwa |
![]() |
Hi picha naipenda sana. Ipo katika kumi bora zangu. Hili gauni la bibi harusi nimelikubali. |
![]() |
Mpaka milango ya kanisa kuliwekwa majina ya maharusi. |
![]() |
Ukumbi ulipendeza sana |
![]() |
Keki ya harusi. Ilikuwa tamu sana |
![]() |
Kitu ambacho kiliwaacha watu wanashanga ni style ambayo maharusi waliingia nayo ukumbini. Ilikuwa ni kama coming to America. Walikaribishwa na ngoma . Hakika mfalme alikuwa anaowa |
![]() |
Maharusi wakipozi kwenye sehemu maalumu ya kupigia picha. Nyuma ni picha yao iliyo chorwa. |
![]() |
Upendo kwa Baba |
![]() |
Upendo kwa Baba. |
![]() |
Mamimi nikaona ngoja nitoe swagga na Maharusi |
Maharusi walipendeza sana hongera zenu na Mungu awabariki katika ndoa yenu. Bibi harusi alipendeza sana na hiyo style ya nywele ni nzuri mno sijui inaitwaje jamani natamani kweli kuijua.
ReplyDelete