![]() |
| Matengenezo yakiendelea ila wameanzia upande wa msata |
![]() |
| Mafundi wakiendelea na kazi |
![]() |
| Hapa kabla matengenezo hayajaanza |
![]() |
| Barabara ya msata bagamoyo ikikamilika itakuwa nammna hii |
![]() |
| Kweli watu wanao rudigi kilimanjaro kuhiji basi kuanzia msata mpaka Segera mambo yako hivi. Mkeka umesafishwa |
![]() |
| Daraja la wami kama hautakuta ajali hapa basi lazima utakuta gari limeharibika. |
![]() |
| Daraja la wami. Sijui kwanini pamoja na watu kujuwa hapa ni hatari lakini kila siku unakuta gari limeanguka |
![]() |
| Hii ni Hatari. Barabarani inabidi ume makini. |
![]() |
| Wale jama zetu wanao fuatiliaga hizi alama wamejipanga sana kipindi hiki mpaka kwenye 30 wanakaa Dah kazi kwelikweli |










No comments:
Post a Comment